Prof Kabudi: Nyerere ilikuwa azaliwe Kenya
Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa azaliwe Kenya, lakini mapatano ya mipaka kati ya Uingereza na Ujerumani waliokuwa wakoloni wa eneo hili yalifanya azaliwe Tanganyika.
Hamdan Mwinyi
Ta bort kommentar
Är du säker på att du vill ta bort den här kommentaren?