Prof Kabudi: Nyerere ilikuwa azaliwe Kenya
Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palamagamba Kabudi amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alikuwa azaliwe Kenya, lakini mapatano ya mipaka kati ya Uingereza na Ujerumani waliokuwa wakoloni wa eneo hili yalifanya azaliwe Tanganyika.
Hamdan Mwinyi
حذف نظر
آیا مطمئن هستید که می خواهید این نظر را حذف کنید؟