JE HUYU NI NANI...?
Kwa kukusaidia jina anaitwa👉CHE GUEVARA.
Ni mwanamapinduzi wa kweli aliyewahi kutokea katika dunia hii iliyotawaliwa na mabeberu...nchi nyingi alitembelea na hata kupigana na mabeberu katika kuchangia ukombozi wa nchi hizo.Hata Tanzania katika Azimio la Arusha alihudhuria,Muite Che Guevara,Muargentina aliyetembea nchi nyingi duniani na alikufa Bolovia.
Install Palscity app
rashid jumanne
댓글 삭제
이 댓글을 삭제하시겠습니까?