@1636833793485625_133447
JE HUYU NI NANI...?
Kwa kukusaidia jina anaitwa👉CHE GUEVARA.
Ni mwanamapinduzi wa kweli aliyewahi kutokea katika dunia hii iliyotawaliwa na mabeberu...nchi nyingi alitembelea na hata kupigana na mabeberu katika kuchangia ukombozi wa nchi hizo.Hata Tanzania katika Azimio la Arusha alihudhuria,Muite Che Guevara,Muargentina aliyetembea nchi nyingi duniani na alikufa Bolovia.
Install Palscity app
rashid jumanne
حذف التعليق
هل أنت متاكد من حذف هذا التعليق ؟