Jamaa fulani alifika hosiđ, Daktari akamuuliza ni nini mbayađ€.....akajibu, "nlishuku bibi wngu anahanyađŻ, nikajifnya naenda job then nikarudi kwa nyumba mchana lakini sikuona mtu, kidogo nkitoka nikaona kimjamaa kikiteremka stairs kikivaa shatiđ, nikachukua frigde nikakirushia, hapo nkastrain mgongo ndio nmekuja unitibu". Daktari akamtibu akaenda homeđ.
Baadae jamaa mwingine anakaa aligongwa na gari akaingiađ€. Daktari akamuuliza nini mbaya...Akasema, "nliset alarm ikakataa kulia nkachelewa kwenda job, nkiteremka stairs mbio kama navaa shati sijui fridge ilitoka wapi juu ikanigonga puuđ!!.ndio maanake nko hapa unitibu." Daktari akamtibu akaenda homeđ.
Baadae kidogo kukaingia jamaa anakaa amekanyangwa na train, daktari akamuuliza amefanya niniđ€. Jamaa akasema, "mimi daktari naitwa Alzaro , nilikuaga ndani ya fridge, nikastukia fridge imefly..........Daktari akafaint đđđđâ.
Leonice Mwalimo
Ta bort kommentar
Ăr du sĂ€ker pĂ„ att du vill ta bort den hĂ€r kommentaren?