Kuna dem alimpea challenge boy wake akamwambia akae siku moja bila kumtext ama kumpigia simuโ๐na kama ataweza kaa bila kumtext na kumpigia then atampenda milele.
So huyo boy akakubali hiyo challenge hakumtext ama kumpigia simu hadi siku ilipoisha bila kujua dem wake alikua na just 24hrs ya kuishi akufe kwa sababu alikua anaugua cancer๐ช.
After siku kuisha alienda๐ถkwa kina dem wake akiwa na furaha ya kumwona coz alikua amemumiss๐ชlakini alipofika kwa gate akakuta watu wengi wakiwa na huzuni akaharakisha kufika ajue nini inaendelea.
Alipofika kwa mlango na kabla hajaingia ndani ya nyumba akapewa barua imeandikwa hivi "UMEFAULU KUKAA SIKU MOJA BILA KUNITEXT AMA KUNIPIGIA SIMU NAOMBA UFANYE HIVYO KILA SIKU"๐ญ๐
SAD INDEED ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ.