đ€MWANAMME NI KIUMBE WA AJABU SANA.
Kabla kumuoa mwanamke,mwanamme huyo humuona mwanamke wake ni mzuri kuliko wanawake wote duniani.
Lakini akisha kumuoa na kumuweka ndani,mwanamme huyo humuona mke wa kawaida sana kuliko wanawake awaonao nje.
SASA UNADHANI KWANINI...,HUJA HALI HII...?
rashid jumanne
Ta bort kommentar
Ăr du sĂ€ker pĂ„ att du vill ta bort den hĂ€r kommentaren?