KUMEKUCHA : Chanjo ya Corona Yamponza Gwajima Apingwa Kila Kona
ShangaziJul 26, 2021
Ikiwa imepita siku moja baada ya mbunge wa jimbo la kawe Askofu Josephat Gwajima kudai kuwa walioeta chanjo ya virusi vya corona wamelipwa na watu wa nje kuwaangamiza watanzania amepata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi nchini
Mbunge wa Bumbuli kupitia chama cha mapinduzi (CCM) amesema kuwa kitendo cha mbunge mwezake kupotosha umma juu ya serikali iliyoleta chanjo hiyo kuwa na lengo la kuwadhuru wananchi wake sio sahihi
“Kauli ya Askofu Gwajima kuhusu chanjo na dhamira ya Serikali kuleta chanjo nchini haikubaliki. Ni hatari kupotosha watu wanaotuamini kuhusu mambo ambayo hatuna utaalam nayo. Mjadala kuhusu usalama wa chanjo ni sahihi lakini kiapo kwamba Serikali imeileta kuwadhuru watu si sahihi” amesema Makamba.
Kwa upande mwingine Mwenyekiti Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dkt.Fredrick Shoo amewaonya viongozi wa dini wanaopinga chanjo ya corona na kuacha kuhusisha chanjo hiyo na mpango wa shetani na kudai huko ni kumjaribu Mungu.
Naye aliyekuwa Waziri wa maliasili na utalii Hamis Kingwangala ambaye tayari ameshapata chanjp hiyo amesema.
“Askofu Gwajima afanye uungwana azitafute makala za kisayansi asome kwa kina juu ya chanjo; na kama ana mashaka na sayansi yake atafute wataalamu wampe shule ya chanjo. Hata mimi Mbunge mwenzake nimesoma soma kidogo, niko tayari kumfafanulia maeneo kadhaa na kumuondoa shaka” amesema Kingwangalla
Aidha umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) umelaami kitendo cha mbunge huyo kupinga na kuhamasisha watu kukataa chanjo hiyo.
Director Dofu
Samuel Kariuki
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Maxswel Okus
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Emily Michira
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Selma Asraka
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
John Ngigi
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Kassim Ayomide
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
SALUM KONDO
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Hassan Mungathia
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Ndubuaku Chinecherem
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Erick wabwile
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
JOHN JAMES
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Gracious Jerry
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Ednah Kasabei
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Hasingizwimana Jean d Amour
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Yvonne Shiqo
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Samuel mwangi
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Samuel NYANDWI
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?
Erick wabwile
Hapus Komentar
Apakah Anda yakin ingin menghapus komentar ini?