*Neno La Mungu, Ufunuo wa Yohana 21:1-27.*
6 Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

_*©Dsm 14-01-2023.*_

Install Palscity app