1 y - Translate

*Neno LA Mungu, Yeremia 16:1-21.*
18 Nami kwanza nitawalipa uovu wao na dhambi zao maradufu, kwa kuwa wameitia unajisi nchi yangu, kwa mizoga ya vitu vyao vichukizavyo, na kuujaza urithi wangu kwa machukizo yao.
19 Ee Bwana, nguvu zangu, ngome yangu, na kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe watakuja mataifa yote toka ncha za dunia, wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.
20 Je! Mwanadamu ajifanyie miungu, wasio miungu?
21 Basi, tazama, nitawajulisha, mara moja hii nitawajulisha, mkono wangu, na nguvu zangu; nao watajua ya kuwa, jina langu ni YEHOVA.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Install Palscity app