PART 6; ๐ท MY DIA WANDIA ๐ท
After sisi kutoka pale kwa hoteli na WANDIA๐, tuliamua kurandaranda pale kwa tao. Ilikuw time yngu ya kwanz kutembea na my crush, Wandia. Hapo nakuambia nlikuw careful sana, nisijichomee bet. Kujiongezea bonga points nlikuw caring sn๐ฏ, kana kwamba dem akimeza mate nlikuw namwambia, ''wandia my dia, meza mate polepole isikunyonge๐๐๐.''
Wandia alikuw mfupi kama vera, macho sexy kama ya hamisa mobetto halfu smile kali kaa ya azziad nasenya๐. ''Maze, wandia so far so good mm nimeamua kufall in love with u, ukinipenda tugrow in love together, '' nliamua kupima urefu wa mtoni, nikitumia mguu moja coz nikitumia miguu miwili nitajipata ndani ya maji๐ค. Kusikia hivo dem akauua smile ingine noma, mwanya na dimples ikaonekana๐. Wandia alikaa kutoka West Africa juu ya venye joo, alikuwa MALI. Urembo wake ilinifnya nimuonee kama cocacola coz I wanted to taste her feeling๐๐. ''I thought ilikuw tuwe marafiki tu, '' Wandia akaanza zile zao za kunyesha ๐ค. Nlisimama kwanz then nikamwambia, ''Usiseme hta hivo coz hata sai natamani kukupea hii kiatu yngu coz you are the soul(sole) of my heart๐.'' Hapo nilikuw narusha lines polepole coz pale kwa men's conference tulikuw tumesema haraka haraka tuachie shoti ya kwanza๐โ.
After kujituma kimwanaume dem akaniambia niende kwake the next day๐, halfu akanipea codes za location tulifaa kukutana. Hapo nilijua mambo yngu si mbya coz tayari nlikuw semi-finals ndani๐. Tukaagana then kila mtu akajiendea๐.
Kesho yake ikafika. Nilienda kwa jirani wngu WAFULA nikaomba suti, nikang'ara vipoa๐ด. Nakuambia niling'ara hadi mke wa bro wngu mdogmwende) akanionea wivu. Mimi huyo nilikula sahani nne za maharagwe๐ coz sikuw na doo halfu sikutka kuenda uko nikose food nihangaike๐ค. Kufika uko kwa WANDIA, alifurahia kuniona akaniambia.."Darling I have a surprise for you tonight ๐." Halafu akanifunga kitambaa kwa macho๐, akanielekeza kwa kiti huko dining kwake. Before anitoe kitambaa kwa uso akapigiwa simu๐ฑ, akaniambia nisijifungue yeye pekee ndo atanifungua๐. Akaenda huko kwa room yake kuongelea huko, zile maharagwe nilikula zikaanza kuniaffect๐๐๐, nikaona bae ako kwa room nikachukua opportunity nikashift mguu kwenda left, ndio hewa itoke bila sauti๐, kalinuka kama zile gari za uchafu za dandora๐๐๐ณ..tena booom!!๐จ Aii iyo harufu zii ikawa worse..ikafka enye natoa atomic bomb sasa๐๐๐๐๐๐.
Finally WANDIA, akamaliza kuongea na simu akakam..akaniulza kwani n nini nmefanyia kitambaa kinanuka vibaya? Then akanifungua kitambaa๐. To my surprise 12 dinner guests including mamake na babake walkuwa wamekaa around the table wote wakiwa wamejifunika mapua....kumbe dem alitka kunijulisha kwa wazazi wake๐ณ๐ณ๐ณ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐
๐๐๐๐๐๐๐.
Usipite bila ku-like story๐.
PART 7 LOADING.....
Augustus Mutambu
Delete Comment
Are you sure that you want to delete this comment ?