2 yrs - Translate

PART 3; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷

Mm nkifanya shopping naita bro anakuja kubeba lkn sasa kimwanamke kinakalishaga tu haga apo kikifikiria hio shuguli n ya bro🤐!! Bro pia alimdanganya dem wake eti maparo ndio wanamtumiaga pesa ya kila kitu 😭. One day, nikaona gaidi ako like 6 weeks pregnant, nikajua hta wao wamekuja sana, nikaanza kuwaonea 18, nikaamua kuchora plan😎.

Siku moja jioni nlikuja om mapema🙄. Nikapata bado hawajepika supper. Mwende (dem wa bro wngu mdogo) akaniambia, ''kazi yako ni kukula tu na kuenda, haujui jinsi ya kutafuta, enda upike supper.'' Sikuongea hta kidgo nliekelea jikoni nikapika tu vzuri😊😊. After chakula kuiva nikakimbia dukani kuenda kununua sumu. Nliporudi nikaserve chakula ya watu watatu😉. Kama mbya mbya, yangu nikajiwekea chakula kidogo sana, kama ya kawaida then ya bro wngu na gaidi wake, nikaweka chakula nyingi then nikaweka sumu🤐.

Huyo mm nikawapelekea chakula mezani. Bro alipoangalia ile chakula nimemwekea na ynye nimejiwekea🙄, akaamua kunihurumia akasema, ''bro kula hii chakula umeniwekea, nikule hiyo yako coz hata mm nimeshiba🤔.'' Wah! Makosa, hapo nlijua imeumana coz mm nguruwe nlikuw nimejikaranga kwa mafuta yngu mwenywe😫😫.

Bro wngu mdogo alichukua ile chakula yngu kidogo then akaendelea kukula😊. Mwende (dem wa bro wngu mdogo) naye kabla akule akasimama kwa nguvu na hasira then akasema, ''kunguni hii, hii mboga umekaranga na mafuta ama mchanga?😑'' Kimadharau akachukua ile chakula akaenda kumwaga nje. Mm naye nikajifnya nimeboeka nikachukua ile chakula ilifaa kuw ya bro wngu mdogo, nikaenda kumwaga nje🤗. Heri kulala njaa, kuliko kulala mochari. PLAN A, ikagonga ukuta.Hapo nikaenda kwa room yngu ya kulala. Kitandani nikatoa 4n yngu nikaamua kumtext WANDIA😎. Nikamtext hivi, ''my dia wandia hi👋.'' Sikuw na hopes ya reply coz amenilenga for like a month. ''Hi too handsome😘 '' boom! Wandia akareply. Hapo nikafeel high. Nikamtext tena , ''long time nimekumiss sana😯.'' Kabla hata sijetoka kwa app ya messages dem akareply ati, ''I miss u more than you miss me😍!'' Hapo nikaguswa zaidi hadi nikasimama kwa kitanda niconfirm kama in text yake👁.

Kuconfirm in text ya WANDIA, nikafurahia sana hadi nikahisi ni kama naweza enda kwa chief nimpee barua ya kumfuta kazi🤗. Nikiwa nawaza cha kumreply, text ya maria( dem fulani mtumba) ikapop juu ya screen. Alikuw amenitext ati, 'hi lipua siku hizi umepotea, si ukuje hadi kwangu uone vnye nimejaza haga😝.'
Bila kuwaza nikaamua kumreply hivi, ''hiyo haga yako ndogo kama earphones ukifungia towel inafnya towel ikae kama bandage😂.'' Pap! Nikatuma. Kuenda kuona screen, nikasoma ati 'sending to DIA WANDIA😭😭😭😭😭''
MAKOSA!!!!

Install Palscity app