2 yrs - Translate

PART 2; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷

Kufika home kufungua bible nikapata number yake ya simu na note
inasema , ''hey handsome😍, u are such a wonderful guy & i like you... Continue reading the word of God . Nice time, yours WANDIA😘 ." Waaah....WANDIA😯😯😯😯!!!!!

Sasa hapo nyumbani kulikuw na balaa? Yani Naishi na bro yangu mdogo as in ni mimi nimehost yeye kwangu🙄. The only thing he owns kwa hiyo nyumba ya single room ni home theatre system. This bro of mine yuko na mwili kubwa so many people believe that am smaller than him, so that house in general belongs to him 😯!
He came with his beautiful girl 2 months ago na demu akakwama Kwa keja😪 , mimi being the good guy niliwaachia bed nadoz Kwa grao.
This lady believes hiyo nyumba ni ya chali yake. But me as gentle man nmecool tu nkt 😫. But for now ile madharau naonyeshwa na huyo mwanamke she taught everything ni beb wake na nimecool 😴😴 .

I'm not even talking to my bro about that issue cz kila time wako pamoja, apo ni kwangu na ata nkitaka nirudi saa saba ya usiku nitarudi cz hio hao n mm ndio nalipa😣. Kuna day nimerudi usiku nkiwa maji juu ya stress zngu, kibibi kinanigombanisha eti kwa nin nimerudi sai usiku hii, ati alfu eti niwache hio ujinga ya kuamsha watu kama wamelala😥😥.
Kwanza kama kuna kitu umeniboo ni kunipimia chakula🙄, wakati mwingine wanakula vizuri halfu nikiongoja kuserviwa chakula, boom! Ananiambia nilambe sahani ynye yeye amekulia chakula 😥😥.

Halfu bro wangu anajaziwa manyama😭, na gasiaaa ya mwanamke hajuangi Kama n mm ndio nanunuaga izo vitu zote. Mm nkifanya shopping naita bro anakuja kubeba lkn sasa kimwanamke kinakalishaga tu haga apo kikifikiria hio shuguli n ya bro🤐!! Bro pia alimdanganya dem wake eti maparo ndio wanamtumiaga pesa ya kila kitu 😭. One day, nikaona gaidi ako like 6 weeks pregnant, nikajua hta wao wamekuja sana, nikaanza kuwaonea 18, nikaamua kuchora plan .......

PART 3 LOAding

Install Palscity app