HISTORIA YA ALEXANDER MASHUHURI WA UGIRIKI
Alexander III wa Macedon (20/21 July 356BC-10/11 June 323BC), alijulikana kama Alexander the Great, alikuwa Mfalme wa Ugiriki falme ya Macedon na pia mmoja wa wanafamilia wa family ya Kifalme ya Ugiriki (Agead dynasty). Alizaliwa mjini Pella mwaka 356 BC, Alexander alimrith baba yake Phili