Klabu ya Arsenal na Sheffield United wamefikia makubaliano ya dili la Pauni Milioni 24 ambayo itapanda mpaka 30 kwa uhamisho wa Golikipa Aaron Ramsdale
Atasaini mkataba wa miaka 4 ambapo kutakuwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi
1: Mwaka 2020 alishuka daraja na Bournemouth
2: Mwaka 2021 alishuka daraja na Sheffield United
3: Mwaka 2022 ?? Je ? mie sijui bhana
ΒΆ