Tuzo za bet awards kupewa Burnaboy mwaka huu
Ni mara baada ya mwanamziki kutokea Naigeria na kuweza kufanikisha kujinyakulia tuzo hiyo,ni kitu ambacho kiliwaacha wengi midomo wazi wakijiuliza Maswali mengi,baadhi ya mashabiki kujiuliza mbona isingekuwa Diamond platinumz.