1 y - Translate

*Neno La Mungu, Isaya 59:1-21.*
19 Basi, wataliogopa jina la Bwana toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya Bwana.
20 Na Mkombozi atakuja Sayuni, kwao waachao maasi yao katika Yakobo, asema Bwana.
21 Tena katika habari zangu, hili ndilo agano langu nao, asema Bwana; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako, wala kinywani mwa wajukuu wako, asema Bwana, tangu leo na hata milele.

_Amen , Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BatakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 20-03-2023._*

Install Palscity app