LETTER TO MY LANDLORD
Dear Able Landlord, It's me victor, the tenant you gave double quit notice the other day. I don finally pack. Yes! I pack today. But e get small confessions wey I wan yarn you laidis:
1. Ireti your daughter don get belle! Yes you read that right, and na me give am belle... no vex!. The way e happen sef I no fit explain, e even shock her sef... we no plan am like dis. You be my fellow man and I hope you understand say na accidental discharge... e fit happen to anybody, but I promise say e no go happen again. I for like be ur son-in-law but you're a bad man. Yes!
2. Bingo your dog no lost, na chop we chop am!
I know say dis one go shock you pass bcoz we follow you search for am. No be only me chop bingo, we dey three. Me, your caretaker and one other hausa man. Oga LandLord, bingo sweet die!... I use am cook soup, cook rice, cook stew, even use am cook beans. Omo! the dog get natural oil for body... And i know say you go dey plan to lay curse on me, the curse no go work, bcoz I pray before I chop am. I know say I bad, but you see that your caretaker? na evil man. Him get liver collect the lion share despite say na me bring up the idea... can you imagine?
3. Oga Landlord, I know say when you
return from your journey you go dey find your keke. The thing be say I sell am dis morning. Money bin no too dey my hand and I suppose settle one or two agent for this new compound I wan park into, no too reason am.
The iron condemn man bin dey price am 25k but I say nooo. How I go sell Keke wey still dey in good condition for 25k? e no good na.
So Las Las I come add ur wheelbarrow make everything be round figure. So the iron condemn man come later pay me 30k for everything. Na the money I use transport myself, and na from there I go take cook soup when I reach.
I drop 2k under your door mat, so when you come you carry am hold body. E no good say I sell your property without dropping something, my conscience no go allow me rest.
😅😄🤩🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
PART 7; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
Then akanifungua kitambaa😃. To my surprise 12 dinner guests including mamake na babake walkuwa wamekaa around the table wote wakiwa wamejifunika mapua🙂....kumbe dem alitka kunijulisha kwa wazazi wake. ''Ghai! kweli hii kijana ni mwanaume na nusu yani anajiachilia free & fair😫.....'' Babake Wandia akasema. Saizo roho yngu ilikuw inadunda ajabu halfu miguu ilikuw imebakisha kidogo hivi, ishindwe kunisupport😐. Mwanaume ni mwanaume, sio gume gume, nilijisupport nakuvumilia coz ile risasi nliachilia nlikuw sure nimejipiga nayo🙄. Kidogo hivi👌, mamake wandia akasimama then akashika kiuno, halfu akapumua na kusema, ''Oh no! Oh noooo! 😴Haiwezekani yani karbu utuue na mnyambo peke yake na sisi ni wakwe wako🙁, kwanza uliinua mguu moja tu ya left na sasa tuseme uinue miguu yote mbili si mtu anaweza jipata jomo Kenyatta hospital akiw i.c.u, shindwe!!!😬😬😬''
Hapo nilishindwa kujisupport nikajipata nimeanguka na kufaint😷. Pahali next pnye nlijipata ni undisclosed location. Nlikuw nimelazwa kwa kitanda😲. Kando yngu kulikuw na mtu amevalia koti ya white, nikajua sasa niko mbinguni na huyo ni malaika🤓. Hapo nikajiuliz yale mabya nlifnya nikiw duniani. Nikajiuliz incase sasa malaika aniulize kwa nini nlikuw nanyonga monkey na ni wanyama, nitamjibu nini? 🙄Nikajiuliza tena incase malaika aniulize kwa nini mm nlikuw nalalamika juu ya bei ya mafuta ya ng'ombe(arimis) kupanda ilhali sikuw na ng'ombe, nitamjibu nini?😢😢
Bila kumwangalia yule malaika nikaamua kumwambia, ''malaika, mshachuna kuni ya kunichomea kule jehanamu ama niende nijichunie?🙄'' Nikasikia akicheka halfu akasema, ''wcha ujinga uko hospitalini😄.'' Oh kumbe baada ya kufaint nliletwe hospitalini. Pale hospitalini nlihudumiwa na yule daktari hadi masaa ya lunch, wakati huo akajiendea nje😎. Kidogo hivi WANDIA akaingia, alifurahi kunoona nikiwa kwa hali nzuri😊. Alikaa kw kitanda halfu akanishika kichwa na kusema, ''ukoje lakni ?'' Hapo nikafeel highreee nikamwambia, ''Niko sawa kabisa darlington😍.'' Hapo WANDIA akachange sura then akasema, ''Ati darlington? Na vnye umenidissa-point kwa wazazi ? Sikutaki tena maisha!!! Period😁.'' Halfu akafunga mlango na nguvu na kujiendea, nikajua kumbe wandia ni mwendawazimu🤗.
After dem kujiendea, nliamua kudoz kiasi like 3 minutes😊. Kidogo hivi nikamuona WANDIA akikam. Akafungua mlango then akakuja hadi kwa bed penye nlikuw. Alisimama na kusema, ''am sorry, nimeona ni kama nlikuongelesha vbya....for that reason wcha leo nkuangushie hii vitu😋'' Akakuja akanilalia huku akinichafua makiss😗, mimi nikaanza kumdara nikigusa mzinga ya asali😋. Sa hizo mzee mfupi ndani ya msitu ilikuw imeamka 90° home & away. Nikajiambia kimoyo moyo 'baaas kitu italala ndani mpka December😃.' WANDIA, alinidara kifua🤓 nikashikwa na mioto mingi ungedhani ni kampuni ya stima KPLC🙌, nikasema kimoyomoyo ,''SIR GOD, vnye ulifungua milango ya gereza ndio paulo na sila watoke, leo umejibu maombi yngu🕴 ''. Juu ya njaa ambayo si ya kiu ama chakula, nikaona ni heri ncheze kistriker nlipue mtu mapema kabla daktari arudi😎. Nikamwambia WANDIA ashike ukuta halfu akae ni kma amepigwa shock, hlfu mm naye sasa nikashika rungu ya MOI kiustadi☺, kuenda kuingiza ndani tu hivi, nikaanguka chini PUUUU!! Kumbe nilkuwa naota......Kidogo nikasikia sauti ya mtu kwa dirisha akisema, ''gaidi ameanguka😂😂😂.'' Kuangalia iIlikuwa DAKTARI.....😂😂😂😂😂😂.
Uspite bila kulike 👍.
PART 8 LOADING ☢.
PART 6; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
After sisi kutoka pale kwa hoteli na WANDIA😊, tuliamua kurandaranda pale kwa tao. Ilikuw time yngu ya kwanz kutembea na my crush, Wandia. Hapo nakuambia nlikuw careful sana, nisijichomee bet. Kujiongezea bonga points nlikuw caring sn😯, kana kwamba dem akimeza mate nlikuw namwambia, ''wandia my dia, meza mate polepole isikunyonge😋😋😎.''
Wandia alikuw mfupi kama vera, macho sexy kama ya hamisa mobetto halfu smile kali kaa ya azziad nasenya😎. ''Maze, wandia so far so good mm nimeamua kufall in love with u, ukinipenda tugrow in love together, '' nliamua kupima urefu wa mtoni, nikitumia mguu moja coz nikitumia miguu miwili nitajipata ndani ya maji🤗. Kusikia hivo dem akauua smile ingine noma, mwanya na dimples ikaonekana🙂. Wandia alikaa kutoka West Africa juu ya venye joo, alikuwa MALI. Urembo wake ilinifnya nimuonee kama cocacola coz I wanted to taste her feeling😉😉. ''I thought ilikuw tuwe marafiki tu, '' Wandia akaanza zile zao za kunyesha 😤. Nlisimama kwanz then nikamwambia, ''Usiseme hta hivo coz hata sai natamani kukupea hii kiatu yngu coz you are the soul(sole) of my heart😍.'' Hapo nilikuw narusha lines polepole coz pale kwa men's conference tulikuw tumesema haraka haraka tuachie shoti ya kwanza😄✌.
After kujituma kimwanaume dem akaniambia niende kwake the next day🙂, halfu akanipea codes za location tulifaa kukutana. Hapo nilijua mambo yngu si mbya coz tayari nlikuw semi-finals ndani😆. Tukaagana then kila mtu akajiendea😝.
Kesho yake ikafika. Nilienda kwa jirani wngu WAFULA nikaomba suti, nikang'ara vipoa🕴. Nakuambia niling'ara hadi mke wa bro wngu mdogmwende) akanionea wivu. Mimi huyo nilikula sahani nne za maharagwe🙈 coz sikuw na doo halfu sikutka kuenda uko nikose food nihangaike🤓. Kufika uko kwa WANDIA, alifurahia kuniona akaniambia.."Darling I have a surprise for you tonight 😊." Halafu akanifunga kitambaa kwa macho🙄, akanielekeza kwa kiti huko dining kwake. Before anitoe kitambaa kwa uso akapigiwa simu📱, akaniambia nisijifungue yeye pekee ndo atanifungua🙈. Akaenda huko kwa room yake kuongelea huko, zile maharagwe nilikula zikaanza kuniaffect🙆🙆👀, nikaona bae ako kwa room nikachukua opportunity nikashift mguu kwenda left, ndio hewa itoke bila sauti😓, kalinuka kama zile gari za uchafu za dandora🙆🙌😳..tena booom!!💨 Aii iyo harufu zii ikawa worse..ikafka enye natoa atomic bomb sasa😂😂😂😂🙆🙆.
Finally WANDIA, akamaliza kuongea na simu akakam..akaniulza kwani n nini nmefanyia kitambaa kinanuka vibaya? Then akanifungua kitambaa😃. To my surprise 12 dinner guests including mamake na babake walkuwa wamekaa around the table wote wakiwa wamejifunika mapua....kumbe dem alitka kunijulisha kwa wazazi wake😳😳😳🙆🙆🙈😏😂😂😄😊😅😂😅😂😂😂😂🏃🏃🏃.
Usipite bila ku-like story👍.
PART 7 LOADING.....
PART 5; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
WAH😲😲😲!!!! tukacheki series hadi ikafika penye actor anakissiana. Nikaanza kupangwa na feelings, nikasikia 'Abdallah' anaamka mwenyewe bila kuamshwa😹. Cha ajabu anasimama peke yake bila hta miguu😅. Usisahau mwende ako na ball, nliamua liwalo na liwe. Kufa gari, kufa dereva, kufa condakta. Vnye tu mwende alikuw amenilalia vizuri kwa mabega😊. Mm nikaamua kumpapasa nywele, weh! Sema mauano. Mwende alisimama ghafla akasema, ''Shetani unagusa nani na hizo mikono yako rough kama ulimi ya ng'ombe😫.''
Hapo niliboeka nikaamua kutoka out niende niwatch movie mitaani🤓, kuliko hii mambo ya aibu ya kujitafutia. Nikawa natembea kwa street mitaani😋, nikammezea mate hadi mdomo ikanikauka. Alikuwa msupu vinoma hadi nkamhurumia dem wa bro wngu (mwende)😯. Tulipitana nkazungusha kichwa yngu 360° ndio nimtazame na nyuma😎. Wah! Kucheki ilikuwa WANDIA. Hakuw ameniona. Maze, uku nyuma alikuwa amebeba ni kama anahama. Nkasare mambo ya movie nkaamua kumfuata🙄. Nlimfuata mdogo mdogo nkijificha kiasi kiasi ndio asiseme mimi ni mwizi. Akatoa kioo akaanza kujiangalia😝, wallahi alikuwa kitu. Alikuwa na dimples na mwanya katikati ya meno, yani yule dem akiweza tamka neno 'chips' unaskia tu kutoka nduki🤗😤😤.
Akakata kona, nikakata kona☺ . Kidogo hivi, akaelekea penye choo ziko. Haisuru hata yeye ni binadamu. Nlimngoja nje from a distance, nkatoa simu nipitie comments zenu kiasi then nkajiuliza mbona wengine hawataki kulike page yngu?🤔 Baaas, WANDIA kutoka mm huyo nkazidi kumfuata. Nikaona amesimama penye wanauza saa(watch), akauliza bei ya saa fulani hapo, akaambiwa 1000, akashika kichwa yake na kushangaa😳. Si mnanijua? Nkajua hii chance yngu ya kuongeza bonga points bila ku-redeem😷. Nikaenda hapo nikatoa wallet yngu......pesa makaratasi nikalipa hiyo saa then hasara roho, nikapea mwenye anauza mia tano juu.WANDIA akaniangalia then akajiendea🙂 .
Nikazidi kumfuata hapa kwa hapa. Kidogo hivi, wandia akaingia kwa hoteli😊. Hata mimi nikaingia kwa hoteli. Kufika ndani nikakaa meza moja na yeye. Kando yngu kulikuwa na wazungu, nkasikia mmoja wao akisema, 'waiter bring me a serviette.' ....Dem naye akaitisha PIZZA then akaendelea kukula🙄. Waiter akaniuliza, ''utakula nini?''...coz mm sikutaka kuchoma bet kwa dem nikajiambia nitakula chakula kama ya wazungu😯, hta kama sijui hiyo chakula ni nini. Nkapumua moja mrefu then nkamwambia waiter, ''nitakula SERVIETTE peke yake🙄.'' Wacha watu wote waanze kucheka. Hadi waiter akazima t.v acheke vizuri. Hapo ndio nlijua hii ushamba wangu itanichomea C.V😃......
Nliaibika hadi sikula tena🤐. Nikatoka nje kumuongoja WANDIA . Alipotoka nikamsalimia then nkamwambia, ''' beautiful soul, am sorry kwa ile text nlkutumia kimakosa...for that mistake can I take you out as a form of punishment🤗 ?''
WANDIA akasmile then akasema, ''u can comes.'' Kumbe dem pia no mshamba. Nikacheka karbu hta nijiendee .....kama ni wewe can you goes???? 😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔🤔.
PART 5; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
WAH😲😲😲!!!! tukacheki series hadi ikafika penye actor anakissiana. Nikaanza kupangwa na feelings, nikasikia 'Abdallah' anaamka mwenyewe bila kuamshwa😹. Cha ajabu anasimama peke yake bila hta miguu😅. Usisahau mwende ako na ball, nliamua liwalo na liwe. Kufa gari, kufa dereva, kufa condakta. Vnye tu mwende alikuw amenilalia vizuri kwa mabega😊. Mm nikaamua kumpapasa nywele, weh! Sema mauano. Mwende alisimama ghafla akasema, ''Shetani unagusa nani na hizo mikono yako rough kama ulimi ya ng'ombe😫.''
Hapo niliboeka nikaamua kutoka out niende niwatch movie mitaani🤓, kuliko hii mambo ya aibu ya kujitafutia. Nikawa natembea kwa street mitaani😋, nikammezea mate hadi mdomo ikanikauka. Alikuwa msupu vinoma hadi nkamhurumia dem wa bro wngu (mwende)😯. Tulipitana nkazungusha kichwa yngu 360° ndio nimtazame na nyuma😎. Wah! Kucheki ilikuwa WANDIA. Hakuw ameniona. Maze, uku nyuma alikuwa amebeba ni kama anahama. Nkasare mambo ya movie nkaamua kumfuata🙄. Nlimfuata mdogo mdogo nkijificha kiasi kiasi ndio asiseme mimi ni mwizi. Akatoa kioo akaanza kujiangalia😝, wallahi alikuwa kitu. Alikuwa na dimples na mwanya katikati ya meno, yani yule dem akiweza tamka neno 'chips' unaskia tu kutoka nduki🤗😤😤.
Akakata kona, nikakata kona☺ . Kidogo hivi, akaelekea penye choo ziko. Haisuru hata yeye ni binadamu. Nlimngoja nje from a distance, nkatoa simu nipitie comments zenu kiasi then nkajiuliza mbona wengine hawataki kulike page yngu?🤔 Baaas, WANDIA kutoka mm huyo nkazidi kumfuata. Nikaona amesimama penye wanauza saa(watch), akauliza bei ya saa fulani hapo, akaambiwa 1000, akashika kichwa yake na kushangaa😳. Si mnanijua? Nkajua hii chance yngu ya kuongeza bonga points bila ku-redeem😷. Nikaenda hapo nikatoa wallet yngu......pesa makaratasi nikalipa hiyo saa then hasara roho, nikapea mwenye anauza mia tano juu.WANDIA akaniangalia then akajiendea🙂 .
Nikazidi kumfuata hapa kwa hapa. Kidogo hivi, wandia akaingia kwa hoteli😊. Hata mimi nikaingia kwa hoteli. Kufika ndani nikakaa meza moja na yeye. Kando yngu kulikuwa na wazungu, nkasikia mmoja wao akisema, 'waiter bring me a serviette.' ....Dem naye akaitisha PIZZA then akaendelea kukula🙄. Waiter akaniuliza, ''utakula nini?''...coz mm sikutaka kuchoma bet kwa dem nikajiambia nitakula chakula kama ya wazungu😯, hta kama sijui hiyo chakula ni nini. Nkapumua moja mrefu then nkamwambia waiter, ''nitakula SERVIETTE peke yake🙄.'' Wacha watu wote waanze kucheka. Hadi waiter akazima t.v acheke vizuri. Hapo ndio nlijua hii ushamba wangu itanichomea C.V😃......
Nliaibika hadi sikula tena🤐. Nikatoka nje kumuongoja WANDIA . Alipotoka nikamsalimia then nkamwambia, ''' beautiful soul, am sorry kwa ile text nlkutumia kimakosa...for that mistake can I take you out as a form of punishment🤗 ?''
WANDIA akasmile then akasema, ''u can comes.'' Kumbe dem pia no mshamba. Nikacheka karbu hta nijiendee .....kama ni wewe can you goes????
6 loading
PART 4; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
Kuconfirm ni text ya WANDIA, nikafurahia sana hadi nikahisi ni kama naweza enda kwa chief nimpee barua ya kumfuta kazi🤗. Nikiwa nawaza cha kumreply, text ya maria( dem fulani mtumba) ikapop juu ya screen. Alikuw amenitext ati, 'hi lipua siku hizi umepotea, si ukuje hadi kwangu uone vnye nimejaza haga😝.'
Bila kuwaza nikaamua kumreply hivi, ''hiyo haga yako ndogo kama earphones ukifungia towel inafnya towel ikae kama bandage😂.'' Pap! Nikatuma. Kuenda kuona screen, nikasoma ati 'sending to DIA WANDIA😭😭😭😭😭..''
Niliboeka sana😞. Nikajarbu kutoa battery ya simu lkni wapi? Text ilienda hivo. Hapo nikatype ''hi WANDIA hiyo text haikuw yako.'' Wapi? Shetani naye ni nani?😲😲 Safcom wakanireplaiya ati, ''dear customer ....bla bla blaa insufficient balance.'' Kuenda kuredeem bonga points nazo, zilikuw less😤. Enyewe siku ya nyani kufa miti yote huteleza😬.
''I thought u were a good person, hta sijakuuliza chochte umeanza kunitusi....why? Anyway, wew sio sukari ati nikulambe, usiwahi nitext tena hata nimedelete number yako😔.'' WANDIA akatuma messo. Hapo nikastress sasa vinoma hadi nikastukia machozi imetoka machoni mwangu😖. Kidogo hivi bro wangu akafungua mlango ya room mm hulala. Alistuka kuona napanguza machozi, akauliza, ''bro nini mbya unalia?🤔'' Hapo nlijipata nimemwambia, ''nikijarbu kuwaza chenye ingemfanyikia David pale kwa biblia in case ile mawe alilinga nayo Goliath ingemiss najipata nalia peke yangu😓😓😓.''
Oh yes ! Nikalala, asubuhi ikafika😎. Kwangu ilikuw siku mbya kama siku ya mazishi kwa sababu nlikuw na stress. Kitu masaa nne hivi bro wngu aliishia mitaani tukasalia om na yule mchick wake😊. Pale nyumbani, nilishinda nikiwatch kale ka t.v kangu kadogo ka Gotv. Macho yngu ilikuw kwa TV lakni mawazo yalikuw mbali juu ya stress😇.
Mwende(demwa bro wngu) after kuosha vyombo akakuja kuwatch TV 🤓. After like 10 minutes akaingia room yao akenda kuchange nguo, kurudi alikuwa amevaa short ingine fiti 🩳 ilikuwa inachora hagger vi fyne sana😯😯....akakuja mbele yangu Kwa TV kuchange station then akaanza kuchora saba akitafta remote penye Iko me naye nimezubailia tu nacheki hagger zake🤐, akadai tueke movie nkamshow aweke series Ile ya 'transporter series' coz Iko na content poa sana 😋😋🤭🤭. This time mwende alikuw ametulia, hakuw na ile kiherehere yake ya kawaida🙄. Then akaeka ile series akakam akakaa Kwa kiti penye mm nilikuwa akanilalia Kwa mabega WAH😲😲😲!!!! tukacheki series hadi ikafika penye actor anakissiana. Nikaanza kupangwa na feelings, nikasikia 'Abdallah' anaamka mwenyewe bila kuamshwa😹. Cha ajabu anasimama peke yake bila hta miguu😅. Usisahau mwende ako na ball, nliamua liwalo.........
PART 5 loading
PART 3; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
Mm nkifanya shopping naita bro anakuja kubeba lkn sasa kimwanamke kinakalishaga tu haga apo kikifikiria hio shuguli n ya bro🤐!! Bro pia alimdanganya dem wake eti maparo ndio wanamtumiaga pesa ya kila kitu 😭. One day, nikaona gaidi ako like 6 weeks pregnant, nikajua hta wao wamekuja sana, nikaanza kuwaonea 18, nikaamua kuchora plan😎.
Siku moja jioni nlikuja om mapema🙄. Nikapata bado hawajepika supper. Mwende (dem wa bro wngu mdogo) akaniambia, ''kazi yako ni kukula tu na kuenda, haujui jinsi ya kutafuta, enda upike supper.'' Sikuongea hta kidgo nliekelea jikoni nikapika tu vzuri😊😊. After chakula kuiva nikakimbia dukani kuenda kununua sumu. Nliporudi nikaserve chakula ya watu watatu😉. Kama mbya mbya, yangu nikajiwekea chakula kidogo sana, kama ya kawaida then ya bro wngu na gaidi wake, nikaweka chakula nyingi then nikaweka sumu🤐.
Huyo mm nikawapelekea chakula mezani. Bro alipoangalia ile chakula nimemwekea na ynye nimejiwekea🙄, akaamua kunihurumia akasema, ''bro kula hii chakula umeniwekea, nikule hiyo yako coz hata mm nimeshiba🤔.'' Wah! Makosa, hapo nlijua imeumana coz mm nguruwe nlikuw nimejikaranga kwa mafuta yngu mwenywe😫😫.
Bro wngu mdogo alichukua ile chakula yngu kidogo then akaendelea kukula😊. Mwende (dem wa bro wngu mdogo) naye kabla akule akasimama kwa nguvu na hasira then akasema, ''kunguni hii, hii mboga umekaranga na mafuta ama mchanga?😑'' Kimadharau akachukua ile chakula akaenda kumwaga nje. Mm naye nikajifnya nimeboeka nikachukua ile chakula ilifaa kuw ya bro wngu mdogo, nikaenda kumwaga nje🤗. Heri kulala njaa, kuliko kulala mochari. PLAN A, ikagonga ukuta.Hapo nikaenda kwa room yngu ya kulala. Kitandani nikatoa 4n yngu nikaamua kumtext WANDIA😎. Nikamtext hivi, ''my dia wandia hi👋.'' Sikuw na hopes ya reply coz amenilenga for like a month. ''Hi too handsome😘 '' boom! Wandia akareply. Hapo nikafeel high. Nikamtext tena , ''long time nimekumiss sana😯.'' Kabla hata sijetoka kwa app ya messages dem akareply ati, ''I miss u more than you miss me😍!'' Hapo nikaguswa zaidi hadi nikasimama kwa kitanda niconfirm kama in text yake👁.
Kuconfirm in text ya WANDIA, nikafurahia sana hadi nikahisi ni kama naweza enda kwa chief nimpee barua ya kumfuta kazi🤗. Nikiwa nawaza cha kumreply, text ya maria( dem fulani mtumba) ikapop juu ya screen. Alikuw amenitext ati, 'hi lipua siku hizi umepotea, si ukuje hadi kwangu uone vnye nimejaza haga😝.'
Bila kuwaza nikaamua kumreply hivi, ''hiyo haga yako ndogo kama earphones ukifungia towel inafnya towel ikae kama bandage😂.'' Pap! Nikatuma. Kuenda kuona screen, nikasoma ati 'sending to DIA WANDIA😭😭😭😭😭''
MAKOSA!!!!
PART 2; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
Kufika home kufungua bible nikapata number yake ya simu na note
inasema , ''hey handsome😍, u are such a wonderful guy & i like you... Continue reading the word of God . Nice time, yours WANDIA😘 ." Waaah....WANDIA😯😯😯😯!!!!!
Sasa hapo nyumbani kulikuw na balaa? Yani Naishi na bro yangu mdogo as in ni mimi nimehost yeye kwangu🙄. The only thing he owns kwa hiyo nyumba ya single room ni home theatre system. This bro of mine yuko na mwili kubwa so many people believe that am smaller than him, so that house in general belongs to him 😯!
He came with his beautiful girl 2 months ago na demu akakwama Kwa keja😪 , mimi being the good guy niliwaachia bed nadoz Kwa grao.
This lady believes hiyo nyumba ni ya chali yake. But me as gentle man nmecool tu nkt 😫. But for now ile madharau naonyeshwa na huyo mwanamke she taught everything ni beb wake na nimecool 😴😴 .
I'm not even talking to my bro about that issue cz kila time wako pamoja, apo ni kwangu na ata nkitaka nirudi saa saba ya usiku nitarudi cz hio hao n mm ndio nalipa😣. Kuna day nimerudi usiku nkiwa maji juu ya stress zngu, kibibi kinanigombanisha eti kwa nin nimerudi sai usiku hii, ati alfu eti niwache hio ujinga ya kuamsha watu kama wamelala😥😥.
Kwanza kama kuna kitu umeniboo ni kunipimia chakula🙄, wakati mwingine wanakula vizuri halfu nikiongoja kuserviwa chakula, boom! Ananiambia nilambe sahani ynye yeye amekulia chakula 😥😥.
Halfu bro wangu anajaziwa manyama😭, na gasiaaa ya mwanamke hajuangi Kama n mm ndio nanunuaga izo vitu zote. Mm nkifanya shopping naita bro anakuja kubeba lkn sasa kimwanamke kinakalishaga tu haga apo kikifikiria hio shuguli n ya bro🤐!! Bro pia alimdanganya dem wake eti maparo ndio wanamtumiaga pesa ya kila kitu 😭. One day, nikaona gaidi ako like 6 weeks pregnant, nikajua hta wao wamekuja sana, nikaanza kuwaonea 18, nikaamua kuchora plan .......
PART 3 LOAding
P.A.R.T 1; 🌷 MY DIA WANDIA 🌷
Last sunday nilikua naenda kutembelea beshte yangu😯 ,then mat nilikua nimepanda nikaona msupa mrembo mwenye ameumbika akafika nikaona nikae naye juu uwezi know miracle za mungu vile zinafanyika 🙂.Sema dem brown skin alafu tulips twingine tusupuu kuruka waaah..ikabidi nijiambie kimoyomoyo😋 .....Take it Slow ya Willy Paul ft Sautisol .
Dem aliposema "hi" Waaah Kushtuka!!! Nikajibu "hi too" Hapo niligain Confidence, nikakumbuka ile Mistari yangu nilikatia nayo kina nani, na nani. Nikajiambia baaas😯😯😯😯.
Hapo tukajuana akaniuliza naenda wap, nikamshow naenda kutembelea beshte yangu😊, Na yeye akanishow anaenda Church NPC Valley Road na akanishow niandamane naye leo ni siku ya kuabudu😎.
Nikakumbuka msemo usemao it's only a fool who doesn't change his mind, nikaamua kwenda church na huyo dem then akanishow atanilipia fare so nisijali😉 ....Tukafika church tukaabudu poa🙏.
Imagin kitu funny huyu dem alinipea Sadaka ya 200 nilipe. Nikajiuliuliza kwani nalipia church rent😲😲😲!!!! Sasa pastor akauliza kama kuna mgeni, yule dem akaniangalia nikajua Wah!!!...Mmmmmmh..Dem alinishika mkono yangu akainua juu😯!!
Sema kutetemeka Walai but juu mwanaume ni kujijaz ikabidi nisimame nijitambulishe 🙄 . Sema kuitwa mbele ya church, chenye kilifanyika next mungu ndo anajua ..Church ikaisha tukaenda tao.
Dem akanipeleka THE RICHLAND hotel🤓...Sema kuletewa food ingine hata sijui venye inaitwa🙄. Tulikula tukamaliza dem akaanza kunisomea bible sasa. Hapo sisi hao tukapanda gari kufika town akanipatia Bible yake akanihug then akanipea 500, eti nitumie kama transport kwenda kejani 😝.
Kufika home kufungua bible nikapata number yake ya simu na note
inasema , ''hey handsome😍, u are such a wonderful guy & i like you... Continue reading the word of God . Nice time, yours WANDIA😘 ." Waaah....WANDIA😯😯😯😯!!!!!
Jamaa fulani alifika hosi🚑, Daktari akamuuliza ni nini mbaya🤔.....akajibu, "nlishuku bibi wngu anahanya😯, nikajifnya naenda job then nikarudi kwa nyumba mchana lakini sikuona mtu, kidogo nkitoka nikaona kimjamaa kikiteremka stairs kikivaa shati😎, nikachukua frigde nikakirushia, hapo nkastrain mgongo ndio nmekuja unitibu". Daktari akamtibu akaenda home😊.
Baadae jamaa mwingine anakaa aligongwa na gari akaingia🤗. Daktari akamuuliza nini mbaya...Akasema, "nliset alarm ikakataa kulia nkachelewa kwenda job, nkiteremka stairs mbio kama navaa shati sijui fridge ilitoka wapi juu ikanigonga puu😁!!.ndio maanake nko hapa unitibu." Daktari akamtibu akaenda home😃.
Baadae kidogo kukaingia jamaa anakaa amekanyangwa na train, daktari akamuuliza amefanya nini🤔. Jamaa akasema, "mimi daktari naitwa Alzaro , nilikuaga ndani ya fridge, nikastukia fridge imefly..........Daktari akafaint 😂😂😂😂✋.
Kuna dem alimpea challenge boy wake akamwambia akae siku moja bila kumtext ama kumpigia simu☎📞na kama ataweza kaa bila kumtext na kumpigia then atampenda milele.
So huyo boy akakubali hiyo challenge hakumtext ama kumpigia simu hadi siku ilipoisha bila kujua dem wake alikua na just 24hrs ya kuishi akufe kwa sababu alikua anaugua cancer😪.
After siku kuisha alienda🚶kwa kina dem wake akiwa na furaha ya kumwona coz alikua amemumiss😪lakini alipofika kwa gate akakuta watu wengi wakiwa na huzuni akaharakisha kufika ajue nini inaendelea.
Alipofika kwa mlango na kabla hajaingia ndani ya nyumba akapewa barua imeandikwa hivi "UMEFAULU KUKAA SIKU MOJA BILA KUNITEXT AMA KUNIPIGIA SIMU NAOMBA UFANYE HIVYO KILA SIKU"😭💔
SAD INDEED 😭😭😭😭.
Dear secondary sch mates;
Some of us didn't further our education after sec sch 😞😞, some of us went further to university, poly, college🏯🏯🏢some of us got married👪, yet some of us are not married✌,some of us are still struggling with life🙆🙆,some of us are already settled👍,some of us are still finding it difficult to even eat 2 square meals in a day🍞🍉, some of us have traveled abroad🚁✈🚢, some of us went back to the village🚲, some of us have seen real hell😈 and still facing hell👹, some of us the last time we sat in a classroom was the last day we wrote our exam📝📐📋, In short; Life isn't cool 4 everyone✔✖ that you are settled and doing well💰💵, doesn't mean others are on the same page with u👉,Whenever u call or run into your classmates, let the conversation be simple✋ that we are still alive😁😁🙌 should be a thing to celebrate👏💪 stop making your friends feel less🙈🙊 bcoz u are married👪, working👷👮🏭🔧🔨, engaged💑 or done with sch. Life is filled with ups downs! 😀😂😂😭
Ndio ulizaliwa kwa private hospital🏥na mimi nikazaliwa tu nyumbani🏡na sisi wote TUKASURVIVE❤🙏🏻.
Wewe ukaenda private school na mimi nikaenda public school na sisi wote tutapatana College /University 😉🧐.
Wewe ukalala kwa King/Queen bed🛌🏻na mimi ordinary bed🛌🏻but sisi wote tukalala na amani na tukaamka asubuhi salama🙏🏻.
Nguo zako zilikua za bei ghali👖👔🥾 lakini zangu ni simple👟👕👕tu za kutoka Gikomba na Muthurwa lakini sisi wote bado tulicover uchi wetu❤😍.
Ulikua unaishi kwa chumba🏢 kubwa nzuri mimi nikaishi kwa maskani ya wastani🏡lakini sisi wote tulikua na place inaitwa"NYUMBANI"😀
Wewe unaweza kua na gari🚗yako ya maana ya kutembea popote unataka lakini mimi natumia bus🚌 na sisi wote tunafika mahali tunaenda salama😊.
Wazazi wako wanaweza kua matajiri lakini sisi wote tuko na watu tunawaita "wazazi" na ya maana ni ya kwamba wanatulea vizuri❤✊.
Unaweza kua unasoma hii post na simu yako ya bei ghali na mwingine anasoma na ya bei ya chini lakini wote mumesoma na kuelewa pamoja🙏🏻.
Najaribu kusema maisha haihusu chenye hauna lakini inahusu chenye uko nayo na vile unajiona mwenyewe...Furahia vile uko usijisumbue na chenye hauna wala kujidharau kwa kukosa chenye mwingine ako nayo,,,vumilia wakati wako utafika🙏🏻💕.
Guys I never thought this could happen 😢.My girl friend wasn't into clubs and she wasn't into pubs🍺🍻,She was innocent girl💃🏻 and loving 😍😍.I was there everytime for her,she meant alot to me.
I was giving her money for salon.
I was sacrificing everything for her.
I wasn't away from her.
I loved her so much.
I was into her and I wanted to grow with her,this girl was different.Then one day I lost my job😢 our relationship started to change she wasn't a girl I used to know anymore🙁.But I remember she told me I love❤ you just the way you are....NOT WHAT YOU HAVE😭.Her friends came into our relationship and controlled her,lied to her and convinced her with lies😡 imagine they told her YOU DESERVE A BETTER GUY THAN ME😭😢.
She followed their lies na akaniwacha😥💔💔💔.
Leo nimetoka kazi 6am nikapata Sharon hayupo kumpigia phone akaniambia Alzaro 🙄, mimi na wewe tumewachana kabisaa.Nikaona niingie huku palscity angalau nitulize akili yangu kiasi kidogo,Kumbe sikuwa na data zilikuwa zime expire💔 niliona niingie tu na free mode nisome hata Memes za watu
Kighafla nikakutana na post yake Sharon ameweka picture lakini hapo juu ameandika 'I LOVE YOU SWEETHEART ❤️'
mimi na kiherehere changu nikarusha comment hapo chini 'I love you too darling come back home'
Sahii nimenunua data nikaona niview hiyo picture ambayo Sharon alipost yangu nikapata si mimi ni jamaa mwingine💔
Niko huku nje ya nyumba natafuta pahali pazuri pa kuzirai😭😭😭😭