Isaya 10 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao maneno ya ushupavu;
² ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang'anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!
Erick wabwile
Cool
Delete Comment
Are you sure that you want to delete this comment ?