Palscity Palscity
    #palscity #Palscity #HarrietOnMoviesAndAnimation #HennessyWeekly #HennessyDaily
    Advanced Search
  • Login
  • Register

  • Night mode
  • © 2023 Palscity
    About • Contact Us • Developers • Privacy Policy • Terms of Use • Palscity Affiliates Academy #PalscityGigs • Testing • PalscityTV Live Stream • Table Benefits and Membership Rates • #MyTakeOnPalscity - What People Say • Palscity Launch

    Select Language

  • Arabic
  • Dutch
  • English
  • French
  • German
  • Italian
  • Portuguese
  • Russian
  • Spanish
  • Turkish
Community
Events Blog Market Forum Rewards
Explore
Explore Popular Posts Games Movies Jobs Offers Fundings
© 2023 Palscity
  • Arabic
  • Dutch
  • English
  • French
  • German
  • Italian
  • Portuguese
  • Russian
  • Spanish
  • Turkish
About • Contact Us • Developers • Privacy Policy • Terms of Use • Palscity Affiliates Academy #PalscityGigs • Testing • PalscityTV Live Stream • Table Benefits and Membership Rates • #MyTakeOnPalscity - What People Say • Palscity Launch
Dzumbe Saro Mae
User Image
Drag to reposition cover
Dzumbe Saro Mae

Dzumbe Saro Mae

@Dzumbesmae
  • Timeline
  • Groups
  • Likes
  • Following 448
  • Followers 83
  • Photos
  • Videos
  • Products
448 Following
83 Followers
29 posts
Male
1981-02-14
Living in Kenya
Located in Shika Adabu Primary School, Likoni-Ukunda Road, Mombasa, Kenya
image
image
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
1 d ·

*Neno La Mungu, Isaya 59:1-21.*
19 Basi, wataliogopa jina la Bwana toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya Bwana.
20 Na Mkombozi atakuja Sayuni, kwao waachao maasi yao katika Yakobo, asema Bwana.
21 Tena katika habari zangu, hili ndilo agano langu nao, asema Bwana; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako, wala kinywani mwa wajukuu wako, asema Bwana, tangu leo na hata milele.

_Amen , Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BatakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 20-03-2023._*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
5 d ·

*Neno La Mungu, Ufunuo wa Yohana 22:1-21.*
12 Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
13 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
14 Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.
15 Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.

_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_La_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 16-03-2023._*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
3 w ·

*Neno La Mungu, Yohana 1:1-51.*
50 Yesu akajibu, akamwambia, Kwa sababu nilikuambia, Nilikuona chini ya mtini, waamini? Utaona mambo makubwa kuliko haya.
51 Akamwambia, Amin, amin, nawaambia, Mtaziona mbingu zimefunguka na malaika wa Mungu wakikwea na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.


_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_Dsm 02-03-2023._*

Like
Comment
Share
avatar

Anusha

Hm

Like
· Reply · 1677816392

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
3 w ·

*Neno La Mungu, Kumbukumbu la Torati 11:1-32.*
26 Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;
27 baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, niwaagizayo leo;
28 na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.

_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 01-03-2023_*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
3 w ·

*Palscity* is new Social media platform which let us connect, share and earn.
You earn by;
📌Posting
📌Commenting
📌Liking posts
📌Blogging
📌Referring
✅No registration fee
✅No activation
*Monitize you content*
Minimum withdrawal 500ksh
Link
https://palscity.com/register?ref=Dzumbesma

Join Whatsapp for more updates 👇👇

https://chat.whatsapp.com/GcywmwK8HUM93a7xVtwIY2

Palscity - A City of Friends - Social Media - Connect, Share, Discover
Favicon 
palscity.com

Palscity - A City of Friends - Social Media - Connect, Share, Discover

Palscity is a Social Media, Business Networking & Leaders Platform. With our new feature, users can react to posts, photos, audios and connect with friends within their network. Pals city, Palcity, Pal city
Like
Comment
Share
avatar

NTEZIRYAYO Simeon

Ndaje nyigerageze ndebeko niba Ari ukuri Koko ihemba

Like
· Reply · 1677636367

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Hamna Ali

Yeah

Like
· Reply · 1677637433

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

NiMra Ch

😐😐🤧🤧

Like
· Reply · 1677639513

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
3 w ·

*Neno La Mungu, Mwanzo 49:-31.*
24 Lakini upinde wake ukakaa imara, Mikono yake ikapata nguvu, Kwa mikono ya Mwenye Enzi wa Yakobo; Kwa jina la mchungaji, yeye jiwe la Israeli,
25 Naam, kwa Mungu wa baba yako atakaye kusaidia; Kwa mibaraka ya mbinguni juu. Mibaraka ya vilindi vilivyo chini, Mibaraka ya maziwa, na ya mimba.
26 Mibaraka ya baba yako Imepita mibaraka ya milima ya kale, Vitu vinavyotamanika vya vilima vya milele; Na vikae juu ya kichwa cha Yusufu, Juu ya utosi wa kichwa chake aliye mkuu kati ya ndugu zake.

_Amen,Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 28-02-2023._*

Like
Comment
Share
avatar

Agnesmongare

Amen barikiwa

Like
· Reply · 1677568879

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Ndege20

Great bible verses they are inspiring

Like
· Reply · 1678159573

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
3 w ·

Wamash Collections



https://wa.me/c/254763896596

Favicon 
wa.me

Update Your Browser | Facebook

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
4 w ·

*Neno La Mungu, Zaburi 89:1-52.*
49 Bwana, zi wapi fadhili zako za kwanza, Ulizomwapia Daudi kwa uaminifu wako?
50 Ee Bwana, ukumbuke, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.
51 Ambayo adui zako wamesimanga, Ee Bwana, Naam, wamezisimanga hatua za masihi wako.
52 Na ahimidiwe Bwana milele. Amina na Amina.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

*_©Dsm 23-02-2023._*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
6 w · ·Youtube

*Introducing magnifier trends for the first time* ...

*Show highlighting our entertainment industry*
✅Exclusive
✅interviews••
✅Trending news ••
✅Hot topics ••
Tk Lyon//hotspot band//cavin Obi//might Carly//163 ages//Spoken heart and more
Check out now✅
Make sure una subscribe
Magnifier TV _home of entertainment_

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
8 w ·

*Neno La Mungu, Zaburi 121:1-8.*
1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5 Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi


*_©Dsm 25-01-2023._*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
8 w ·

*Neno La Mungu, Zaburi 121:1-8.*
1 Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5 Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi


*_©Dsm 25-01-2023._*

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
9 w ·

*Neno La Mungu, Ufunuo wa Yohana 21:1-27.*
6 Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

_*©Dsm 14-01-2023.*_

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
10 w ·

*Neno La Mungu, Mathayo 5:1-48.*
8 Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.
9 Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
10 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
11 Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu.
12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
11 w ·

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
11 w ·

*Neno La Mungu, Waebrania 2:1-18.*
6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
7 Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;
8 Umeweka vitu vyote chini ya nyayo zake. Kwa maana katika kuweka vitu vyote chini yake hakusaza kitu kisichowekwa chini yake. Lakini sasa bado hatujaona vitu vyote kutiwa chini yake.
9 ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo punde kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji ya utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.
10 Kwa kuwa ilimpasa yeye, ambaye kwa ajili yake na kwa njia yake vitu vyote vimekuwapo, akileta wana wengi waufikilie utukufu, kumkamilisha kiongozi mkuu wa wokovu wao kwa njia ya mateso.

_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
12 w ·

*Neno La Mungu, Zaburi 146:1-10.*
1 Haleluya. Ee nafsi yangu, umsifu Bwana.
2 Nitamsifu Bwana muda ninaoishi, Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.
3 Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.
4 Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake, Siku hiyo mawazo yake yapotea.
5 Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, Na tumaini lake ni kwa Bwana, Mungu wake,
6 Aliyezifanya mbingu na nchi, Bahari na vitu vyote vilivyomo. Huishika kweli milele,

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
13 w ·

*Neno La Mungu,Kumbukumbu la Torati 30:1-20.*
1 Tena itakuwa, mambo haya yote yatakapokujilia, baraka na laana nilizoweka mbele yako, nawe utakapozikumbuka kati ya mataifa yote, huko atakakokupeleka Bwana, Mungu wako,
2 nawe utakapomrudia Bwana, Mungu wako, na kuitii sauti yake, mfano wa yote nikuagizayo leo, wewe na wanao, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote;
3 ndipo Bwana, Mungu wako, atakapougeuza utumwa wako, naye atakuhurumia, tena atarejea na kukukusanya kutoka mataifa yote, huko alikokutawanyia Bwana, Mungu wako.
4 Watu wako waliotawanyika wakiwako katika ncha za mbingu za mwisho, kutoka huko atakukusanya Bwana, Mungu wako; kutoka huko atakutwaa;
5 atakuleta Bwana, Mungu wako, uingie nchi waliyomiliki baba zako, nawe utaimiliki; naye atakutendea mema, na kukufanya uwe watu wengi kuliko baba zako.

_Amen Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
avatar

Max Adams

cool)

Like
· Reply · 1671802632

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Cimpaye

Cool

Like
· Reply · 1671813779

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Tedike

Cool

Like
· Reply · 1671868919

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
13 w ·

*Neno La Mungu, Waefeso 1:1-24.*
12 Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu.
13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.
14 Ndiye aliye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.
15 Kwa sababu hiyo mimi nami, tangu nilipopata habari za imani yenu katika Bwana Yesu, na pendo lenu kwa watakatifu wote,

_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
13 w ·

*Neno La Mungu, Waefeso 1:1-24.*
12 Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu.
13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.
14 Ndiye aliye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.
15 Kwa sababu hiyo mimi nami, tangu nilipopata habari za imani yenu katika Bwana Yesu, na pendo lenu kwa watakatifu wote,

_Amen, Mungu Akubariki._

#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Dzumbe Saro Mae
Dzumbe Saro Mae @Dzumbesmae
13 w ·

*Neno LA Mungu, Yeremia 16:1-21.*
18 Nami kwanza nitawalipa uovu wao na dhambi zao maradufu, kwa kuwa wameitia unajisi nchi yangu, kwa mizoga ya vitu vyao vichukizavyo, na kuujaza urithi wangu kwa machukizo yao.
19 Ee Bwana, nguvu zangu, ngome yangu, na kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe watakuja mataifa yote toka ncha za dunia, wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.
20 Je! Mwanadamu ajifanyie miungu, wasio miungu?
21 Basi, tazama, nitawajulisha, mara moja hii nitawajulisha, mkono wangu, na nguvu zangu; nao watajua ya kuwa, jina langu ni YEHOVA.

_Amen, Mungu Akubariki._


#NenolaMungu
#Neno_la_Mungu
#BarakazaMungu
#BarakazaBwana
#Maombi

Like
Comment
Share
Load more posts

Unfriend

Are you sure you want to unfriend?

Report this User

Edit Offer

Add tier








Select an image
Delete your tier
Are you sure you want to delete this tier?

Reviews

Pay By Wallet

Payment Alert

You are about to purchase the items, do you want to proceed?

Request a Refund