Palscity Palscity
    #palscity #Palscity #HarrietOnMoviesAndAnimation #HennessyWeekly #HennessyDaily
    Advanced Search
  • Login
  • Register

  • Night mode
  • © 2023 Palscity
    About • Contact Us • Developers • Privacy Policy • Terms of Use • Palscity Affiliates Academy #PalscityGigs • Testing • PalscityTV Live Stream • Table Benefits and Membership Rates • #MyTakeOnPalscity - What People Say • Palscity Launch

    Select Language

  • Arabic
  • Dutch
  • English
  • French
  • German
  • Italian
  • Portuguese
  • Russian
  • Spanish
  • Turkish
Community
Events Blog Market Forum Rewards
Explore
Explore Popular Posts Games Movies Jobs Offers Fundings
© 2023 Palscity
  • Arabic
  • Dutch
  • English
  • French
  • German
  • Italian
  • Portuguese
  • Russian
  • Spanish
  • Turkish
About • Contact Us • Developers • Privacy Policy • Terms of Use • Palscity Affiliates Academy #PalscityGigs • Testing • PalscityTV Live Stream • Table Benefits and Membership Rates • #MyTakeOnPalscity - What People Say • Palscity Launch
Brian Otara
User Image
Drag to reposition cover
Brian Otara

Brian Otara

@BrianPhaty
  • Timeline
  • Groups
  • Likes
  • Following 24
  • Followers 56
  • Photos
  • Videos
  • Products
24 Following
56 Followers
9 posts
Male
11-04-2001
Studying at University
Living in Kenya
Located in Kisii
image
image
image
image
image
image
Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

Police officers were called to pick the lifeless body, as usual they had to take the report. At the man's house, was his wife sitted like nothing has happened, she was asked to tell the officers anything she knew...'Alikuja kwa nyumba kama amelewa, akavaa nguo za FC Leo na akaniambia anaenda shule kuongea na watoto juu hawatampata...akaenda shule na akarudi. Aliingia kwa nyumba akaniambia anaenda rooftop (8th for) kujirusha, nikamwambia sawa kajiue. Dakika kidogo nikasikia kelele hapo nje' mama narrated!
Na hivo ndivyo kijana ameenda! sad...
Of course life is not easy, but there are people who. truly love you...your siblings, parents and your children!
In any decision you make, Always remember people who love you and people you love the most, if your marriage is not working, divorce! killing yourself will not sort any mess!
#palscity Palscity Guider

Like
Comment
Share
Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

Ngamwaya Kemikal this Sunday @moranlounge 🤎🤎

image
Like
Comment
Share
Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

A day before her expected date of joining the University of Nairobi, Caroline Wanjugu Mwangi had almost given up hope on her chance due to lack of fees.

An early morning visit to Senator Isaac Mwaura, however, breathed life back into the 17-year-old's dreams after the Albinism Society of Kenya paid her fees.

She was quickly prepared and enrolled into the Parklands Campus to study Law with her eyes set on becoming a judge who will be the voice of the marginalised in society, like herself.

Caroline scored an A- (Minus) in last year's Kenya Certificate of Secondary Education and was among the top students nationally.

image
Like
Comment
Share
avatar

Mucyo Fred

Kkkoo

Like
· Reply · 1632320089

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

Kisii Man Ignites a Firestorm after Posting How Wife Treats him, says women must worship their husbands

A man identified as Philip Onyancha Murubi has raised eyebrows in the internet after posting pictures of how his wife treats him at home. In a post on his Instagram, Mr. Onyancha said women were created to serve men.

He added that no woman can survive without a man.

" I am the king. The only obligation I except is total submission, service and most importantly, obedience. Nikikohoa, lazima uhitike. My fellow, you are not a man if you are not been taken care like this." He posted.

image
Like
Comment
Share
avatar

Barigomwa Samson

Hhhhh

Like
· Reply · 1632257650

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

MATANGAZO

Ferdinand Omanyala: Kwanini mtu mwenye kasi zaidi Afrika hakukatishwa tamaa na marufuku aliyowekewa?
By Celestine Karoney
BBC Sport Africa, Nairobi
21 Septemba 2021, 085 EAT
Kenya's Ferdinand Omurwa Omanyala (left) breaking the African 100m record finishing behind Trayvon Bromell (centre) but ahead of Justin GatlinCHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Licha ya kuwa wa pili baada ya Trayvon Bromell, mwanariadha wa Kenya Omanyala aliweka rekodi ya mbio za mita 100 Jumamosi

Ferdinand Omurwa Omanyala anaweza kuwa ndiye mwanaume mwenye kasi zaidi barani Afrika baada ya kuvunja rekodi ya bara la Afrika katika mbio za mita 100, lakini Mkenya huyo anakiri kuwa marufuku ya matumizi ya dawa za kututumua misuli michezoni aliyowekewa mwaka 2017 itaathiri mafanikio yake.

Alikimbia kwa kasi ya sekunde 9.77 katika mbio za Kip Keino Classic mjini Nairobi na kuvunja rekodi ya sekunde 9.85 iliyowekwa na raia wa Afrika Kusini Akani Simbine mwezi Julai.

"Wakati wote ninapokimbia mbio hizi za kasi, watu huzungumza, lakini kwangu mimi ni kwa ajili yangu- Sikimbii kwa ajili ya mtu mwingine ," Aliiambia BBC Afrika michezo, kijana huyu mwenye umri wa miaka 25.

Muda wake unamfanya kuwa mwanaume wa nane mwenye kasi zaidi kuwahi kushuhudiwa, licha ya kumaliza mbio akiwa wa pili akimfuata Mmarekani Trayvon Bromell ambaye pia aliweka rekodi bora binafsi ya sekunde 9.76.

Omanyala ambaye alianza kazi yake ya riadha katika mwaka 2016, aliwekewa marufuku ya miezi 14 mwaka 2017 , baada ya vipimo kuonyesha kuwa alikuwa ametumia dawa za kututumua misuli michezoni, ambazo binafsi anasema zilikuwa ni dawa za kuondoa maumivu alizokuwa amemeza.

"Nilihisi nilikuwa muathiriwa wa hali," alieleza. "Ilikuwa ni dawa ya kumaliza maumivu halafu ikageuka kuwa ilikuwa na steroid ndani, na masaibu hayo yamenifanya kuwa mtu niliye sasa ."

"Ilinipa uvumilivu, ikanifanya kuwa imara -kwasababu ni changamoto ambayo hakuna mwanariadha ambaye angependa kuipitia- na ni funzo kwamba hupaswi kutumia kitu chochote na haupaswi kumuamini mtu yeyote katika riadha."

"Imekuwa vigumu lakini ilinifanya niache yaliyopita nyuma. Tunasamehe, tunasahau na kusonga mbele. Mimi ni yule mtu ambaye anaishi maisha ya wakati huo. Imekuwa safari ngumu kuanzia mwaka 2016-majeraha, marufuku-lakini yote hayo ni mambo yaliyopita. Tunaandaa hali ya baadaye ."

'Hakuna ukomo katika uwezekano'

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Ferdinand Omurwa Omanyala aliweka rekodi ya kitaifa nchini Kenya mara mbili kwa kushinda mita 100 katika Tokyo Olympiki

Omanyala anasisitiza kuwa anaweza kukimbia kwa kasi hata zaidi na ameweka rekodi ya chini ya sekunde 9.70 kama lengo lake, mafanikio ambayo yamefikiwa tu na magwiji kama vile Usain Bolt wa Jamaica, na Yohan Blake na Mmarekani Tyson Gay.

Mchezaji huyo wa zamani wa raga aliyegeuka na kuwa mkimbiaji wa mbio za kazi za masafa mafupi-anaamini kuwa anaweza kukimbia hata kwa kasi kubwa zaidi kuliko hiyo, na labda kukaribia rekodi ya dunia ya Bolt ya sekunde 9.58.

"Hakuna ukomo katika uwezekano ," alitabasamu.

Msimu huu umekuwa wa mafanikio kwani ameweza kufuzu kwa michuano ya robo fainali katika mbio za mita 100 katika Olympiki za kwanza, huku akiweka rekodi mpya ya Kenya ya sekunde 10.00 , akiwa ni mmoja kati ya watu watano waliofanikiwa zaidi katika kipindi cha miezi saba iliyopita.

"Nimekuwa nikipata mafanikio katika kila mbio kwasababu nimekuwa nikikimbia katika mashindano mengi sana mwaka huu ," anasema. "Hilo ndilo nitakalolifanya mwaka ujao na nitaanza mapema labda mwezi Machi . Kwahiyo itakapofika Juni, tutegemee mida ya kasi sana ."

Matumaini ya kuhamasisha
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Mwanariadha wa mbio fupi Mmarekani Justin Gatlin ana matumaini kwamba Afrika inaweza kutoa wanariadha wenye kasi zaidi duniani siku zijazo

Katika nchi inayofahamika kwa kuwa na wanariadha bora katika mbio za masafa ya kati na masafa marefu, Omanyala sasa analenga kuhamasisha kizazi kijacho cha wanariadha wa masafa mafupi Wakenya.

"Ombi langu kubwa ni kwamba katika miaka mitano ijayo tuwe na akina Omanyala, watoto zaidi wanaoweza kukimbia mbio za masafa mafupi, kwasababu mimi ni wa kwanza ambaye nilijaribu kung'ang'ana kufika juu ,"anasema.

"Ninafahamu kuna watu wengi ambao wanaweza kukimbia kwa kasi, katika soka na raga, kwahiyo kama tutaweza kuwapata wakimbiaji wa mbio fupi 10, Kenya itakuwa imepata mafanikio.

"Sasa wanaamini inawezekana , kwasababu wengi wa watu waliokuwa wakiingia katika mbio hizi walikuwa wanakatishwa tamaa na wazazi wao au watu wengine wakisema 'huwezi kufika popote nchini Kenya kwa mbio za masafa mafupi'. Lakini sasa watu wanaamini hii inawezekana.

"Sasa ninataka kufungua klabu ya mbio za kasi za masafa mafupi na kuwatia moyo wakimbiaji vijana kufanya mazoezi na kuona ni wapi wanaweza kwenda."

Mwanaume mmoja anayeamini kwamba Omanyala, Simbine na Mnigeria kama Enoch Adegoke, aliyefikia finali ya Olympiki mita 100 watawatia moyo Waafrika wenzao ni Mshindi wa zamani wa Olympiki na dunia Justin Gatlin.

Mmarekani huyo, aliyemaliza nyuma kidogo ya Omanyala Jumamosi pia alielezea mafanikio ya Waafrka matika matukio ya viwanjani.

"Kipaji cha mbio za masafa mafupi za kazi katika Afrika ni kikubwa," aliimbia BBC.

"Dunia hinawaona wanariadha wa Afrika kama wakimbiaji wa mbio za masafa marefu tu , lakini sasa kuna warusha tufe, warukaji , wakimbiaji wa mbio za kasi za masafa mafupi , kwahiyo ninadhani imeonyesha duniakwamba inazaidi kuliko kipaji cha masafa marefu tu.

"Hicho ni kitu kikubwa kuwa nacho.Nimekuwa kila mara nikiamini kwamba Afrika ina mengi ya kutoa kwa dunia zaidi ya kile ilicho nacho tayari."

Wanaume wenye kasi zaidi katika historia:

Usain Bolt (Jamaica) - sekunde 9.58
Tyson Gay (Marekani) - sekunde9.69
Yohan Blake (Jamaica) - sekunde 9.69
Asafa Powell (Jamaica) - sekunde 9.72
Justin Gatlin (Marekani) - sekunde 9.74
Christian Coleman (Marekani) - sekunde 9.76
Trayvon Bromell (Marekani) - sekunde 9.76
Ferdinand Omanyala (Kenya) - Sekunde 9.77s
Nesta Carter (Jamaica) - sekunde 9.78
Maurice Greene (Marekani ) - sekunde 9.79
Mada zinazohusiana
Michezo
Kenya
Riadha
Habari kuu
Moja kwa mojaPaul Rusesabagina: Mzozo wa kidiplomasia waibuka baina ya Rwanda na Ubelgiji
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.09.2021
Saa 3 zilizopita
'Siwezi kuacha muziki hata kama Taliban hawakubali'
Saa 3 zilizopita
Gumzo mitandaoni
Je! ni vijidudu gani tunasambaziana wakati tunabusu?
20 Septemba 2021
Viumbe sita wenye uwezo wa kuishi kwa maelfu ya miaka kabla ya kufa
20 Septemba 2021
Akutana na mama yake kwa mara ya kwanza baada ya miaka 58
21 Septemba 2021
Mwanariadha mwenye kasi zaidi Afrika hakukatishwa tamaa na marufuku ya dawa
21 Septemba 2021
Je Paul Rusesabagina ni nani?
20 Septemba 2021
Zifahamu taaluma sita ambazo zinatokomea
18 Septemba 2021
Teksi zageuka kuwa shamba la mboga Thailand
20 Septemba 2021
Hali ikoje kujifungua chini ya utawala wa Taliban?
20 Septemba 2021
9:36
Video,Ndoto za mitaaniensi ndio maisha yangu, Muda 9,36
20 Septemba 2021
Iliyosomwa zaidi
1
Usiyoyajua kuhusu ibada za waabudu shetani
2
Viumbe sita wenye uwezo wa kuishi kwa maelfu ya miaka kabla ya kufa
3
Makubaliano AUKUS: Je ni kwanini manowari za nyuklia zinaogopwa kote duniani?
4
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 21.09.2021

image
Like
Comment
Share
avatar

Conncyshah Mona

Fn

1
Like
· Reply · 1632253857

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Brian Otara

Congratulations

Like
· Reply · 1632253909

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Alphonce murumbi

good

1
Like
· Reply · 1632254023

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
1 y ·

"You cannot satisfy a borehole" Pastor Kanyari warns Betty Bayo's new husband
@brian_phaty

image
Like
Comment
Share
avatar

Alphonce murumbi

good

Like
· Reply · 1632247536

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Kivuva Mutiso

Amazing

1
Like
· Reply · 1632248097

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

avatar

Brian Otara

🤗

Like
· Reply · 1632253138

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
2 yrs ·

Less talks💯 @businessKe

image
Like
Comment
Share
avatar

Erick wabwile

Smart

Like
· Reply · 1630005956

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
2 yrs ·

NEW KBC OUTLOOK ??..
#KBC2021
Kenya Broadcasting Corporation KBC is set to rock the airwaves again after a mega transformation that brings legendary presenters back on air. Top of the list are celebrated presenters Catherine Kasavuli, Who previously worked for Citizen TV and KTN and Tom Mboya who as well worked for Citizen TV and K24 TV.

ther presenters who are going to grace new look KBC Channel 1 include, Cynthia Nyamai, Shiksha Arora, John Kioria Fred Indimuli, Juma Ballo, Harith Salim, and Nancy Onyancha.

The new-look KBC is set to be unveiled tonight after months of engagements and planning with relevant stakeholders in the sector.

KBC Channel 1 TV, Radio Taifa, and the English Service have all been rebranded with a lineup of fresh presenters who are ready to feed their publics with refreshing, entertaining, captivating, and nostalgic content.

Apart from new presenters, KBC has also unveiled new content for all KBC Channel 1 and the youth-focused Channel Y254 – and a stable of 21 radio services

The upgrade will see viewers and listeners enjoy rebranded comprehensive, investigative news bulletins from a line-up of young and seasoned veteran anchors who will spruce up the bulletins streamed in high definition.


Catherine Kasavuli alongside the legendary Fayyaz Qureishi, Badi Muhsin, and Pauline Sheghu will host the special Saturday segment dubbed ‘Legends’ while Sunday Express will wrap up the week’s news events.

KBC Editor-in-Chief Samuel Maina said the changes have been informed by the market dynamics and changing audience

image
Like
Comment
Share
avatar

Moa Cheriot

Looking smart

Like
· Reply · 1625720227

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Brian Otara
Brian Otara @BrianPhaty
2 yrs · changed his profile picture

image
Like
Comment
Share
avatar

Erick wabwile

Kali

Like
· Reply · 1630005973

Delete Comment

Are you sure that you want to delete this comment ?

Load more posts

Unfriend

Are you sure you want to unfriend?

Report this User

Edit Offer

Add tier








Select an image
Delete your tier
Are you sure you want to delete this tier?

Reviews

Pay By Wallet

Payment Alert

You are about to purchase the items, do you want to proceed?

Request a Refund