@1639228167234062_154995
Nimekuja kugundua ya kwamba kama kuna watu wananyanyasa katika hii kenya ni wale wanafanya kazi za nyumba,mtanyanyaswa hadi lini,imajn uko na watoto wanaenda shule,inalipa fee,chakula kwa ajili yao then mtu yu akilipa 5k,how is that possible,plz Kenyans let's help those who are working as househelps na tuwasaidie kukataa kunyanyaswa,the list salary,Yani pesa ya chini zaidi inafaa iwe 10k ,,thank you
Am always as some as I am,
Very silent
Napenda kufanya mambo kivyangu
Adah Ondeche
حذف التعليق
هل أنت متاكد من حذف هذا التعليق ؟